Friday, April 22, 2011

Taswa FC ndani ya bonanza la Pasaka

Timu ya soka ya waandishi wa habar iza michezo nchini (Taswa FC) siku ya sikukuu ya Pasaka itashiriki katika tamasha la mpira wa miguu lililopangwa kufanyika kwenye uwanja wa Tabata Shule ya Msingi.

Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary alisema kuwa timu zaidi ya nane zitashirikiki katika bonanza hilo na timu yake imejidhatiti kuibuka na ushindi.

Majuto alisema kuwa wanachukulia mchezo huo kama sehemu ya maandalizi ya safari yao ya Arusha na mechi ya kuiaga sikukuu ya Pasaka kwani Jumatatu ya Pasaka watapambana na timu ya wauza maua kutoka Arusha.

Alisema kuwa wageni wao wanatarajia kuwasili jijini siku ya Pasaka na baada ya kusheherekea na wakazi wa Dar es Salaam, watacheza mechi hiyo ambayo itashirikisha pia timu ya Taswa ya Netball maarufu kwa jina la Taswa Queens.

Michezo yote hiyo inatarajiwa kufanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii au Kinesi kwa kutegemea nafasi ya viwanja hivyo.

Mwanamichezo bora Taswa ‘kutoka’ na GX 100

Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimetangaza kuwa Mwanamichezo Bora wa Tanzania kwa mwaka 2010 atazawadiwa gari.

Akizungumza Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Taswa, Juma Pinto amesema wanamichezo wengine watakaoshinda kwenye kila mchezo watazawadiwa Sh milioni moja kila mmoja.

Pinto alisema kuwa wameamua kumpa gari mshindi kama njia mojawapo ya kumpongeza kutokana na mafanikio yake, lalini pia kuwapa changamoto wengine ya kufanya vizuri kwenye mashindano mbalimbali ili siku za usoni nao wapate zawadi hizo.

“Tumeamua kutoa gari mpya aina ya Toyota GX 100, yenye thamani ya Sh milioni 13, tunaamini zawadi hii inaweza kusaidia wanamichezo kuona jinsi gani tunavyowathamini,” alisema Pinto.

Mwenyekiti huyo alisema kuwa karibu vyama 15 vya michezo mbalimbali, vitapewa tuzo kwa wanamichezo wao waliofanya vizuri mwaka 2010 na kwamba kati ya vyama hivyo kuna vingine michezo yao inachezwa na jinsia mbili, hivyo idadi ya tuzo zitazidi 30.

“Michezo kama wavu, soka, mpira wa mikono, gofu, tenisi na mingine inachezwa na wanaume na wanawake, hivyo lazima uwe na tuzo kwa pande zote mbili.

“Pia kutakuwa na tuzo nyingine nne, ambazo ni Tuzo ya Heshima kwa aliyetoa mchango kwenye michezo, Tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi, Tuzo ya Mtanzania anayecheza nje ya nchi na Tuzo ya Mwanamichezo wa Nje anayecheza Tanzania,” alisema.

Alisema baada ya kuwapata wanamichezo bora wa kila mchezo, ndipo miongoni mwao atatoka Mwanamichezo Bora wa Tanzania kwa mwaka 2010, ambao wote watazawadiwa Mei 6, mwaka huu kwenye sherehe zitakazofanyika Hoteli ya Movenpick, Dar es Salaam.

Naye Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) inayodhamini tuzo hizo, Teddy Mapunda alisema, licha ya kupewa zawadi ya gari, pia mshindi atalala kwenye Hoteli ya Movenpick kwa siku moja katika chumba cha hadhi ya daraja la juu.

Alisema kampuni yake itaendelea kushirikiana na Taswa kuhakikisha kuwa tuzo hiyo inakuwa bora na ya aina yake hapa nchini.

Wanamichezo wengine waliotwaa tuzo hiyo kuanzia mwaka 2006 ni Samson Ramadhan, Martin Sulle (2007), Mary Naali (2008), ambao ni wanariadha na Mwanaid Hassan (2009).

Zawadi ya juu ya Mwanamichezo Bora ilitolewa mwaka jana, ambapo mshindi alipata Sh 700,000 kwa ushindi wa jumla na ile ya mwezi alipata Sh 300,000 hivyo kumfanya aondoke na Sh milioni moja.

Soma zaid hapa.. japo ni hatari

Lesbians start legal fight after being denied hotel room

ShareretweetEmail Story Print Story By Ian Dunt Skip related content
Related photos / videos Lesbians start legal fight after being denied hotel room Two lesbians who were denied a double room at a hotel are launching a legal challenge with the help of civil liberty advocates.

Rebecca Nash and Hope Stubbings were allegedly denied the hotel room at the Brunswick Square Hotel in Brighton because it only accepted 'couples and families'.

"Laws prohibiting hotels and guesthouses from discriminating against gay men and lesbians have been in place for four years now, but clearly the message still isn't getting through," said James Welch, legal director of Liberty, which is bringing legal proceedings against the hotel on the couple's behalf.

"With the Equality Act 2010 now in force, my clients intend to show that they have as much right to enjoy a quiet weekend away together as any other couple."

The manager of the hotel insisted to politics.co.uk that the two women had not made a booking and that they had not been rejected because of their sexuality.

But according to Liberty, the manager had told the women "no two boys, no two girls" before losing his temper and ushering them out the hotel.

The Equality Act, which forbids discrimination in the provision of good and services, applies to hotels, but claimants would need to demonstrate that they had been treated differently to a heterosexual couple. The case follows a row over the John Snow pub, which recently saw hundreds of gay men conduct a 'kiss-in' after a young gay couple on their first date were allegedly thrown out for kissing.

Soma na hapa ndugu yangu......

Relationship suicide: things you should never say to your lover

Even if you pride yourself on your open and honest relationship, there are times when over familiarity and frankness can get you into trouble. Take heed and think before you speak if you want your relationship to prosper…

“You knew I was this way when you met me.”
Uh oh! This is a classic example of passive aggression. Instead of trying to address your own flaws, you’re trying to hold your partner partially responsible for your shortcomings. Before getting riled that your partner is behaving unreasonably, stop and think what this little statement actually says about you. Here’s a rough translation - “I refuse to evolve as a person and am resistant to change. Deal with it.” Do you really want to paint yourself in such a bad light? Do you really have no intention of attempting compromise? If the answer is no, it’s better to admit your faults and say something like “I know I’m difficult, but I am trying to change.”

“You’re 95% perfect.”
Even if it’s meant as a massive compliment, this statement is guaranteed to have completely the opposite effect. The person on the receiving end won’t be able to stop themselves from wondering - and possibly even obsessing over - why they aren’t scoring full marks in the perfection stakes instead of being flattered. The lesson here? Stick to positive affirmations like “You’re the one for me.” Make sure your compliments are just that - there’s no room for discrepancy - avoid saying anything that could be misconstrued or used against you.

“I wish you were more/less like my ex.”
It’s perfectly natural to find yourself comparing a previous partner to your present one at times but it’s never a wise move to actually say so out loud. Be prudent and bite your tongue whenever you’re tempted to drag your ex’s name into an argument. Being measured favourably or unfavourably to a past love is not only mean but also an unconstructive form of criticism that has the potential to ruin your relationship. So keep the ex-talk at bay even when things get heated.

“Then I guess we shouldn’t be dating.”
Every couple argues – it’s no big deal, just so long as you don’t end up making sweeping statements like this one when you really don’t mean them. Do you actually intend to breakup over something trivial like your boyfriend/girlfriend not putting the rubbish out, or forgetting you don’t like mushrooms? If the answer is no, then forget the drama or run the risk your other half taking you up on the offer. Reserve the fighting talk for when you genuinely want out of a relationship.

“You’re not fat from the front, just from the side.”
Honesty is not always the best policy when it comes down to the issue of women and weight. This is one of the rare occasions on which we advocate a little bending of the truth to save any hurt feelings. Changing the subject all together is also an option. Saying something like “Your hair looks really nice.” Or “Are those new shoes?” should help steer you off the path to destruction.

“You’re bad in bed!”
If things in the bedroom aren’t quite as earth-shattering as you’d hoped, this certainly isn’t going to help matters. Ridiculing your lover about their performance between the sheets is cruel, hurtful and will leave them feeling vulnerable. A statement like this even if there’s only a grain of truth behind it could even herald the end of your relationship. Suggest switching up your love making moves and sensitively initiating something a little different will reap more enjoyable rewards.

Tafadhari soma hapa mdau wa blog hii kama unataka kufanikiwa japo ni ya kizungu

10 things that will get you the job

Do you want to extend your time looking for a job? Of course not. Candidates are always on the lookout for the most efficient, effective way to find new work. Bear in mind the following tips during your job search and interview processes, and make your job hunting should whiz by.


1. Customise your CV and covering letter.
Customise your CV for the jobs you're after. One size doesn't fit all; you're an individual so show it. Many online recruitment sites show sample CVs and provide expert tips on how you should tailor yours.

2. Diversify your search.
If you've been responding to newspaper ads with no response, also post your CV online, search some job websites, talk to your friends and attend an industry trade show. The more ways you search, the more likely you are to connect with the right employers. The latest figures from the British Market Research Bureau show that using the Internet is the favoured job-hunting method for one-in-four UK adults.

3. Don't go solo.
The University of London says up to 60 per cent of jobs never make it to print. One of the keys to creative job-hunting is creating a network of contacts as a source of information about the career that you're interested in, and as a way to get yourself known by the right people. Who knows - a friend-of-a-friend might hold the perfect lead. Let your contacts know you're on the job market. Or look online: with more than 95,000 members worldwide, Ecademy is a valuable place to meet business movers and shakers.

4. Find a company where you fit in.
Browse potential employers' websites and ask your friends about what it's like to work at their companies. Employers are looking for candidates who would be a good fit and thrive within the company culture.

5. Don't get discouraged.
Experts estimate the average job search to last anywhere between three and 10 months - and that means a lot of rejection. Keep at it: your dream job is out there.

6. Always be prepared.
You can never be too prepared for your first meeting with a potential employer. Before your interview, always browse the company's website. Find out as much as you can about the company's products, leadership, mission and culture. Prepare answers to common interview questions and be ready for difficult ones.

7. Be on time.
Whether it's an informal or formal interview, always arrive about 10 minutes early. Allow plenty of time for traffic, transport delays and bad weather.


8. Dress and act the part.
Good interview technique is as much about looking the part as verbally communicating well. Around two-thirds of human communication is non-verbal and lasting impressions are formed quickly, largely based on appearance. In fact, the way you walk and stand accounts for 80 per cent of someone's first impression of you. A well-tailored suit is almost always appropriate for interviews.

9. Showcase your talents.
Your CV may show off your experience and business sense, but what about showcasing your creative side and extracurricular interests by setting up a blog? A MySpace editor such as www.strikefile.com/myspace can help you create an impressive offering quickly. Then simply bring your laptop with you. Taking time to create a short, snazzy presentation could also be impressive. But avoid being cheesy.

10. Ask good questions.
At the end of an interview, the employer will inevitably ask if you have any questions. Have a list of questions prepared that showcase your company research and interest in the position.

The right job for you may not be easy to find but keep trying and make sure that you spend enough time searching in the right places. Remember - the more opportunities you have, the better the job that you’ll be able to choose.

Tuesday, April 19, 2011

Mwasika ' out' Yanga, Taifa Stars kwa miezi 6

MCHEZAJI tegemeo wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Stephano Mwasika uenda asicheze mechi zilizobakia za kufuzu kombe la Mataifa ya Afrika kutokana na kuwa majeruhi.

Mwasika ambaye alicheza mechi dhidi ya Afrika ya Kati akitokea benchi na kuiwezesha timu hiyo kushinda mabao 2-1 anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa goti au misuli ya meniscus na anatarajiwa kuwa nje kati ya miezi minne na sita.

Upasuaji huo umepangwa kufanyika nchini India na lini utafanyika itategemea mipango ya klabu yake ya Yanga ambayo ndiyo yenye jukumu la mwisho la matibabu ya mchezaji huyo kwa mujibu wa taratibu za Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA).

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Jan Poulsen alisema kuwa ni pigo kwa timu yake kwani hakumjumuisha mchezaji huyo kwenye timu inayokwenda kucheza mechi ya kimataifa dhidi ya Msumbiji ili kupisha matibabu yake.

“Nimepata taarifa kuwa atakwenda India, hii ina maana kuwa atakuwa nje muda mrefu, kuwepo kwake katika timu hii itategemea zaidi nafuu yake, sina jinsi zaidi ya kutafuta mchezaji ambaye ataweza kuziba pengo lake,” alisema Poulsen.

Poulsen alisema kuwa alimjumuisha Mwasika katika kikosi ambacho kilitarajia kupambana na Jamhuri ya Afrika ya Kati mwezi Juni, lakini kwa sasa hali imekuwa tofauti.

Daktari wa timu ya Taifa, Juma Mwanandi Mwamkemwa alisema kuwa lazima mchezaji huyo afanyiwe upasuaji na madaktari bingwa wapo nchini India na anaamini ataendelea kucheza baada ya kupona.

“Kwa kifupi, baada ya kupasuliwa atatakiwa kukaa si chini ya miezi minne ili aanze mazoezi ya taratibu huku akiangaliwa kwa undani zaidi na nadhani itachukua kati ya mwezi mmoja na nusu ili kurejea hali yake ya kawaida baada ya miezi minne,” alisema Mwamkemwa.

Afisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu kuwa ni masikitiko makubwa timu yao kumkosa Mwasika licha ya kuwa wachezaji wao wako katika kusherehekea sikukuu.

Friday, April 8, 2011

taswa fc yaalikwa Arusha

Timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa Fc imealikwa mkoani Arusha kwenda kutetea ubingwa wao wa Taswa -Arusha sports bonanza.

Taswa FC ambayo ni mabingwa mara mbili, imepokea taarifa kutoka kwa muandaaji wa bonanza hilo, Mussa Juma na imepania vilivyo kulichukua kombe hilo kwa mara ya tatu mfululizo.

Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary alisema kuwa bonanza hilo limepangwa kufanyika Mei 8 na kikosi cha wachezaji 24 na viongozi sita wa timu hiyo kinatarajia kuondoka jijini Mei 5 kuelekea mikoa ya Kanda ya Kaskazini.

Majuto alisema kuwa wakiwa njiani, watacheza mechi moja mkoani Kilimanjaro (Moshi mjini) dhidi ya maveterani wa mkoa huo na baadaye kuondoka usiku kuelekea Arusha na kuweka kambi ya siku mbili (Mei 6 na Mei 7) kabla ya kuanza kazi ya kutetea ubingwa wao.

"Tupo katika maandalizi mbali mbali pamoja na kusaka wadhamini, kama unavyojua tunategemea sana wadhamini ili kufanikisha safari yetu, hivyo tunaomba wadhamini watupige tafu," alisema Majuto.

Alisema kuwa wakiwa njiani, Taswa Fc itasimama Segera na kucheza mechi moja siku ya Mei 9 na kuondoka usiku huo huo kurejea DSM.

Kiongozi huyo aliwataka wachezaji wote kufanya maandalizi ya kina ili kuweza kutimiza wajibu wao katika mashindano hayo.