TFF inawakumbusha wanachama wake (vyama vya mpira wa miguu vya mikoa, vyama shiriki na klabu za Ligi Kuu) kuwa haitambui mapinduzi ya uongozi kwani ni kinyume cha katiba zao.
Kwa wanachama ambao kuna nafasi zilizo wazi baada ya viongozi kujiuzulu wanatakiwa kuzijaza kwa kufanya uchaguzi.
This blog is owned by the Tanzania Sports Writers Association (TASWA) Football Club with its objective being to communicate with members and the general public about the association's activities
Friday, March 18, 2011
VODACOM TANZANIA YATOA NAULI YA LIGI KUU
Klabu zote 12 ambazo timu zao zinashiriki katika Ligi Kuu ya Vodacom zimelipwa mgawo wa mwisho wa nauli kwa msimu huu wa 2010/2011. Kila klabu imepokea hundi ya sh. milioni 5.2. Kwa msimu mzima kila klabu imepata jumla ya sh. milioni 24.5 kwa ajili ya nauli. Fedha hizo ni sehemu ya udhamini wa Kampuni ya Vodacom kwenye Ligi Kuu.
KUIONA STARS VS JAMHURI YA AFRIKA YA KATI SH. 3,000
Shirikisho la soka Tanzania, limetangaza viingilio vya mechi ya mchujo ya Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) kati ya Taifa Stars na Jamhuri ya Afrika ya Kati itachezwa Machi 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura alitaja viingilio hivyo kuwa ni kama ifuatavyo; Viti vya Kijani na Bluu sh. 3,000, Viti vya Rangi ya Chungwa (Orange straight and curve) sh. 5,000, VIP C sh. 10,000, VIP B sh.20,000 na VIP A sh. 40,000.
Tiketi zitaanza kuuzwa Machi 24 mwaka huu saa 2 asubuhi katika vituo vifuatavyo; Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Big Bon Msimbazi (Kariakoo), Mgahawa wa Steers (Mtaa wa Samora/Ohio), Kituo cha Mafuta OilCom (Ubungo), Uwanja wa Uhuru, Kituo cha Mafuta Kobil (Buguruni) na Kituo Kidogo cha Polisi Tandika Mwisho.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litatoa asilimia moja ya mapato yatakayopatikana katika mechi hiyo kusaidia waathirika wa maafa ya mabomu ya Gongo la Mboto.
Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura alitaja viingilio hivyo kuwa ni kama ifuatavyo; Viti vya Kijani na Bluu sh. 3,000, Viti vya Rangi ya Chungwa (Orange straight and curve) sh. 5,000, VIP C sh. 10,000, VIP B sh.20,000 na VIP A sh. 40,000.
Tiketi zitaanza kuuzwa Machi 24 mwaka huu saa 2 asubuhi katika vituo vifuatavyo; Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Big Bon Msimbazi (Kariakoo), Mgahawa wa Steers (Mtaa wa Samora/Ohio), Kituo cha Mafuta OilCom (Ubungo), Uwanja wa Uhuru, Kituo cha Mafuta Kobil (Buguruni) na Kituo Kidogo cha Polisi Tandika Mwisho.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litatoa asilimia moja ya mapato yatakayopatikana katika mechi hiyo kusaidia waathirika wa maafa ya mabomu ya Gongo la Mboto.
'NCHIMBI AWAPONGEZA MABONDIA'
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Emmanuel Nchimbi,
amepongeza uteuzi wa mabondia wa timu ya Taifa uliofanywa na
Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT).
Mwanzoni mwa wiki hii, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alitangaza
kikosi cha mabondia 28 waliochaguliwa kuunda kikosi hicho ambacho
kitakuwa chini ya Kocha Mkuu Hurtado Pimenter kutoka Cuba na makocha
wazawa Benjamin Mwangata, Makoye Isangula na Edward Emanuel.
Dkt. Nchimbi alitoa pongezi hizo Dar es Salaam juzi katika kikao
chake na wajumbe wa Kamati ya Utendaji BFT, alipokutana nao kwa mara
ya kwanza tangu achaguliwe katika nafasi hiyo.
“Timu za Taifa zichaguliwe mapema kwani zinapochaguliwa karibu na
mashindano, wachezaji wetu hawapati maandalizi ya kutosha kwani lengo
la serikali ni kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya michezo,”
alisema Nchimbi.
Aliongeza kuwa, taswila la mchezo wa ngumi ilianza kupotea nchini
kutokana na kashfa ya dawa za kulevya iliyotokea katika uongozi wa
Alhaj Shaaban Mintanga hivyo jukumu la uongozi wa sasa ni kutafisha
taswila hiyo katika jamii.
Alisema umefika wakati wa BFT, kuimarisha mfumo wa mawasiliano katika
ngazi za chini na kuboresha utendaji kazi ili kupata mabondia wenye
vipaji na uwezo wa kuitangaza Tanzania kimataifa.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alisema jitihada
kubwa zilizoanza kufanywa na shirikisho hilo ni kuhakikisha mabondia
wote, wanaingia katika mpango wa Polisi Jamii ili wahusika wa biashara
hiyo na watumiaji, waweze kukamatwa na kufikishwa katika vyombo vya
sheria.
amepongeza uteuzi wa mabondia wa timu ya Taifa uliofanywa na
Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT).
Mwanzoni mwa wiki hii, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alitangaza
kikosi cha mabondia 28 waliochaguliwa kuunda kikosi hicho ambacho
kitakuwa chini ya Kocha Mkuu Hurtado Pimenter kutoka Cuba na makocha
wazawa Benjamin Mwangata, Makoye Isangula na Edward Emanuel.
Dkt. Nchimbi alitoa pongezi hizo Dar es Salaam juzi katika kikao
chake na wajumbe wa Kamati ya Utendaji BFT, alipokutana nao kwa mara
ya kwanza tangu achaguliwe katika nafasi hiyo.
“Timu za Taifa zichaguliwe mapema kwani zinapochaguliwa karibu na
mashindano, wachezaji wetu hawapati maandalizi ya kutosha kwani lengo
la serikali ni kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya michezo,”
alisema Nchimbi.
Aliongeza kuwa, taswila la mchezo wa ngumi ilianza kupotea nchini
kutokana na kashfa ya dawa za kulevya iliyotokea katika uongozi wa
Alhaj Shaaban Mintanga hivyo jukumu la uongozi wa sasa ni kutafisha
taswila hiyo katika jamii.
Alisema umefika wakati wa BFT, kuimarisha mfumo wa mawasiliano katika
ngazi za chini na kuboresha utendaji kazi ili kupata mabondia wenye
vipaji na uwezo wa kuitangaza Tanzania kimataifa.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alisema jitihada
kubwa zilizoanza kufanywa na shirikisho hilo ni kuhakikisha mabondia
wote, wanaingia katika mpango wa Polisi Jamii ili wahusika wa biashara
hiyo na watumiaji, waweze kukamatwa na kufikishwa katika vyombo vya
sheria.
Tuesday, March 15, 2011
MSIMAMO NA WAFUNGAJI WANAONGOZA LIGI KUU YA VODACOM
Msimamo wa Ligi Kuu Bara
TIMU P W D L F A Pts
Simba 19 14 2 3 35 14 44
Yanga 19 11 7 12 4 5 40
Azam 19 11 4 4 36 14 37
Mtibwa 19 8 7 4 21 20 31
Kagera 19 8 5 6 20 17 30
JKT 19 6 8 5 15 13 25
Lyon 19 5 7 7 16 24 22
Toto 19 5 6 8 18 23 21
Polisi 19 4 5 10 9 18 17
Ruvu 19 3 6 10 12 20 16
Majimaji 19 2 7 10 9 19 13
AFC 19 3 2 14 12 38 11
WACHEKA NA NYAVU LIGI KUU YA VODACOM
13.Mrisho Ngassa (Azam)
12. Gaudence Mwaikimba (Kagera)
9. John Boko (Azam)
7.Jerry Tegete (Yanga)
Mussa Mgosi (Simba)
6. Mbwana Samatta (Simba)
Ramadhani Chombo ‘Redondo’ (Azam)
Rashid Gumbo (Simba)
Davies Mwape (Yanga)
5.Hussein Bunu (JKT)
4.Revocatus Maliwa (Ruvu Shooting)
Idd Mbaga (Yanga)
Samuel Ngassa (Lyon)
Hussein Sued (Toto)
Pius Kisambale (JKT)
Semmy Kessy (Toto)
3. Adam Kingwande (Lyon)
Emmanuel Okwi (Simba)
Said Dilunga (Kagera)
Ali Mohammed (Mtibwa)
Pascal Maige (Polisi)
Salum Machaku (Mtibwa)
TIMU P W D L F A Pts
Simba 19 14 2 3 35 14 44
Yanga 19 11 7 12 4 5 40
Azam 19 11 4 4 36 14 37
Mtibwa 19 8 7 4 21 20 31
Kagera 19 8 5 6 20 17 30
JKT 19 6 8 5 15 13 25
Lyon 19 5 7 7 16 24 22
Toto 19 5 6 8 18 23 21
Polisi 19 4 5 10 9 18 17
Ruvu 19 3 6 10 12 20 16
Majimaji 19 2 7 10 9 19 13
AFC 19 3 2 14 12 38 11
WACHEKA NA NYAVU LIGI KUU YA VODACOM
13.Mrisho Ngassa (Azam)
12. Gaudence Mwaikimba (Kagera)
9. John Boko (Azam)
7.Jerry Tegete (Yanga)
Mussa Mgosi (Simba)
6. Mbwana Samatta (Simba)
Ramadhani Chombo ‘Redondo’ (Azam)
Rashid Gumbo (Simba)
Davies Mwape (Yanga)
5.Hussein Bunu (JKT)
4.Revocatus Maliwa (Ruvu Shooting)
Idd Mbaga (Yanga)
Samuel Ngassa (Lyon)
Hussein Sued (Toto)
Pius Kisambale (JKT)
Semmy Kessy (Toto)
3. Adam Kingwande (Lyon)
Emmanuel Okwi (Simba)
Said Dilunga (Kagera)
Ali Mohammed (Mtibwa)
Pascal Maige (Polisi)
Salum Machaku (Mtibwa)
YANGA, JKT ZAINGIZA MIL 19/-
Mechi namba 113 ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa Machi 12 mwaka huu kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam imeingiza sh. 19,475,000. Baada ya kulipa asilimia 18 kwa Serikali ambayo ni sh. 2,970,763 ikiwa ni Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na gharama za awali za mchezo sh. 3,639,600 fedha zilizobaki kwa ajili ya mgawanyo ni sh. 12,864,637.
Katika mgawanyo huo kila timu ilipata mgawo wa sh. 3,859,391. Mgawo mwingine ulikwenda kwa gharama ya mchezo (sh. 1,286,464), Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania- TFF (sh. 1,286,464), Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu- FDF (sh. 643,232), Uwanja (sh. 1,286,464), Baraza la Michezo la Taifa- BMT (sh. 128,646) na Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam- DRFA (sh. 514,585).
Watazamaji 4,028 walilipa kushuhudia mechi hiyo kwa kiingilio cha sh. 15,000, sh. 8,000, sh. 5,000 na sh. 3,000.
Nayo mechi ya ligi hiyo kati ya Azam na Mtibwa Sugar iliyochezwa Machi 13 mwaka huu Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na kushuhudiwa na watazamaji 1,021 iliingiza sh. 3,718,000. VAT kwa mechi hiyo namba 114 ambayo kiingilio kilikuwa sh. 5,000, sh. 3,000 na sh. 2,000 ilikuwa sh. 567,153.
Baada ya kuondoa gharama za awali za mechi mgawo ulikuwa kama ifuatavyo; kila timu sh. 468,494, gharama ya mchezo (sh. 156,165), Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania- TFF (sh. 156,165), Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu- FDF (sh. 78,082), Uwanja (sh. 156,165), Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam- DRFA (sh. 62,466) na Baraza la Michezo la Taifa- BMT (sh. 15,616.
Katika mgawanyo huo kila timu ilipata mgawo wa sh. 3,859,391. Mgawo mwingine ulikwenda kwa gharama ya mchezo (sh. 1,286,464), Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania- TFF (sh. 1,286,464), Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu- FDF (sh. 643,232), Uwanja (sh. 1,286,464), Baraza la Michezo la Taifa- BMT (sh. 128,646) na Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam- DRFA (sh. 514,585).
Watazamaji 4,028 walilipa kushuhudia mechi hiyo kwa kiingilio cha sh. 15,000, sh. 8,000, sh. 5,000 na sh. 3,000.
Nayo mechi ya ligi hiyo kati ya Azam na Mtibwa Sugar iliyochezwa Machi 13 mwaka huu Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na kushuhudiwa na watazamaji 1,021 iliingiza sh. 3,718,000. VAT kwa mechi hiyo namba 114 ambayo kiingilio kilikuwa sh. 5,000, sh. 3,000 na sh. 2,000 ilikuwa sh. 567,153.
Baada ya kuondoa gharama za awali za mechi mgawo ulikuwa kama ifuatavyo; kila timu sh. 468,494, gharama ya mchezo (sh. 156,165), Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania- TFF (sh. 156,165), Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu- FDF (sh. 78,082), Uwanja (sh. 156,165), Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam- DRFA (sh. 62,466) na Baraza la Michezo la Taifa- BMT (sh. 15,616.
'SABABU ZA TASWA FC KUTOCHEZA KOVA CUP HIZI HAPA
Uongozi wa timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC umesema kuwa haujatokea katika mechi za mashindano ya Kova Cup kutokana na kutopata ratiba.
Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary alisema kuwa taarifa za kucheza mechi yao ya kwanza walizipata siku ya Jumapili saa 9.00 alasiri baada ya kupigiwa simu na mmoja wa wasimamizi wa mashindano hayo, Bw. Chonya na ilikuwa vigumu kwao kuifanyia kazi taarifa ya njia ya simu.
Majuto alisema kuwa katika mazungumzo hayo, njia pekee ya kuwashirikisha wao katika mashindano hayo ni kwa kutuma tarifa au ratiba nzima ya mashindano hayo masaa 48 kabla ya mchezo kwani wachezaji wao wote ni waandishi wa habari na wanahitaji kuombewa ruhusa ili kucheza mechi hizo.
Alisema kuwa taarifa ya Chonya ilikuwa ikiwataka Taswa FC kucheza mechi yake saa 8.00 mchana, hali ambayo ni vigumu kwa waandishi wa habari kuwatoa katika maeneo yao ya kazi ili kwenda kucheza mechi hizo.
“Waandishi au wachezaji wetu wanatakiwa kuripoti maenoe yao ya kazi kuanzia saa 7.00 mchana, hata magari ya kubeba waandishi hufika Idara ya Habari kuanzia saa 7.00 mchana, mfano Waandishi wa Mwananchi Communications Limited (MCL) wao wanatoka katika majukumu yao saa 7 na kurejea makao makuu Tabata Relini, New Habari nao hivyo hivyo, wao wanatatoka Maelezo saa 7.30 mchana kuelekea Sinza, The Guardian Limited nao uondoka saa 7.00, je watafika maeneo yao ya kazi saa ngapi na kucheza mechi saa 8.00?,” alihoji Majuto.
Alifafanua kuwa endapo wangekuwa na ratiba, ingekuwa rahisi kuwaombea ruhusa wachezaji wao ili kufanya kazi mapema na kuwahi mechi hizo.
“Hatuna lengo baya kama baadhi ya wajumbe wa Kamati ya mashindano wanavyodhani, timu yetu ipo kimashindano zaidi na ndiyo maana tumeshinda vikombe vingi sana hapa Dar na Arusha,” alisema.
Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary alisema kuwa taarifa za kucheza mechi yao ya kwanza walizipata siku ya Jumapili saa 9.00 alasiri baada ya kupigiwa simu na mmoja wa wasimamizi wa mashindano hayo, Bw. Chonya na ilikuwa vigumu kwao kuifanyia kazi taarifa ya njia ya simu.
Majuto alisema kuwa katika mazungumzo hayo, njia pekee ya kuwashirikisha wao katika mashindano hayo ni kwa kutuma tarifa au ratiba nzima ya mashindano hayo masaa 48 kabla ya mchezo kwani wachezaji wao wote ni waandishi wa habari na wanahitaji kuombewa ruhusa ili kucheza mechi hizo.
Alisema kuwa taarifa ya Chonya ilikuwa ikiwataka Taswa FC kucheza mechi yake saa 8.00 mchana, hali ambayo ni vigumu kwa waandishi wa habari kuwatoa katika maeneo yao ya kazi ili kwenda kucheza mechi hizo.
“Waandishi au wachezaji wetu wanatakiwa kuripoti maenoe yao ya kazi kuanzia saa 7.00 mchana, hata magari ya kubeba waandishi hufika Idara ya Habari kuanzia saa 7.00 mchana, mfano Waandishi wa Mwananchi Communications Limited (MCL) wao wanatoka katika majukumu yao saa 7 na kurejea makao makuu Tabata Relini, New Habari nao hivyo hivyo, wao wanatatoka Maelezo saa 7.30 mchana kuelekea Sinza, The Guardian Limited nao uondoka saa 7.00, je watafika maeneo yao ya kazi saa ngapi na kucheza mechi saa 8.00?,” alihoji Majuto.
Alifafanua kuwa endapo wangekuwa na ratiba, ingekuwa rahisi kuwaombea ruhusa wachezaji wao ili kufanya kazi mapema na kuwahi mechi hizo.
“Hatuna lengo baya kama baadhi ya wajumbe wa Kamati ya mashindano wanavyodhani, timu yetu ipo kimashindano zaidi na ndiyo maana tumeshinda vikombe vingi sana hapa Dar na Arusha,” alisema.
'ASKARI 23 WA POULSEN HAWA HAPA'
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Jan Poulsen ametangaza majina ya wachezaji 23 ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye mechi ya AFCON dhidi ya Jamhuri ya Kati hapo Machi 27 kwenye uwanja wa Taifa.
Katika uteuzi huo, Yanga na Azam zina juma ya wachezaji wanne kila mmoja wakati Wekundu wa Msimbazi, Simba ina watatu huku Mtibwa Sugar, JKT Ruvu na ST Long An ya Vietnam zina wachezaji wawili wawili.
Timu hiyo itaingia kambini Machi 17 kwenye hotel ya Atrium ya Sinza bila ya wachezaji wa Simba ambao wanajiandaa na mechi dhidi ya TP Mazembe. Simba SC inatarajia kuondoka Jumamosi kwenda Lubumbashi, DR Congo kwa ajili ya mchezo huo uliopangwa kupigwa Machi 20.
Wachezaji wa timu hiyo wanatarajia kujiunga na kambi hiyo siku ya Jumatatu, mara baada ya kurejea kutoka Lubumbashi.
KIKOSI KAMILI CHA WACHEZAJI WA STARS NI HAWA HAPA
MAKIPA
Shabani Kado (Mtibwa Sugar), Juma Kaseja (Simba) and Shaaban Dihile (JKT Ruvu).
MABEKI
Shadrack Nsajigwa (Yanga), Aggrey Morris (Azam), Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (Yanga), Stephano Mwasika (Yanga), Haruna Shamte (Simba), Juma Nyoso (Simba) and Idrissa Rajab (Sofapaka, Kenya).
WACHEZAJI VIUNGO:
Nurdin Bakari (Yanga), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Jabir Aziz (Azam), Henry Joseph (Kongsvinger IL, Norway), Abdi Kassim (DT Long An, Vietnam), Mwinyi Kazimoto (JKT Ruvu).
WASHAMBULIAJI:
Dan Mrwanda (DT Long An, Vietnam), Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada), Mrisho Ngasa (Azam), Mohamed Banka (Simba), Athuman Machupa (Vasalund IF, Sweden), John Bocco (Azam) and Mbwana Samata (Simba).
Katika uteuzi huo, Yanga na Azam zina juma ya wachezaji wanne kila mmoja wakati Wekundu wa Msimbazi, Simba ina watatu huku Mtibwa Sugar, JKT Ruvu na ST Long An ya Vietnam zina wachezaji wawili wawili.
Timu hiyo itaingia kambini Machi 17 kwenye hotel ya Atrium ya Sinza bila ya wachezaji wa Simba ambao wanajiandaa na mechi dhidi ya TP Mazembe. Simba SC inatarajia kuondoka Jumamosi kwenda Lubumbashi, DR Congo kwa ajili ya mchezo huo uliopangwa kupigwa Machi 20.
Wachezaji wa timu hiyo wanatarajia kujiunga na kambi hiyo siku ya Jumatatu, mara baada ya kurejea kutoka Lubumbashi.
KIKOSI KAMILI CHA WACHEZAJI WA STARS NI HAWA HAPA
MAKIPA
Shabani Kado (Mtibwa Sugar), Juma Kaseja (Simba) and Shaaban Dihile (JKT Ruvu).
MABEKI
Shadrack Nsajigwa (Yanga), Aggrey Morris (Azam), Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (Yanga), Stephano Mwasika (Yanga), Haruna Shamte (Simba), Juma Nyoso (Simba) and Idrissa Rajab (Sofapaka, Kenya).
WACHEZAJI VIUNGO:
Nurdin Bakari (Yanga), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Jabir Aziz (Azam), Henry Joseph (Kongsvinger IL, Norway), Abdi Kassim (DT Long An, Vietnam), Mwinyi Kazimoto (JKT Ruvu).
WASHAMBULIAJI:
Dan Mrwanda (DT Long An, Vietnam), Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada), Mrisho Ngasa (Azam), Mohamed Banka (Simba), Athuman Machupa (Vasalund IF, Sweden), John Bocco (Azam) and Mbwana Samata (Simba).
Monday, March 14, 2011
KIKOSI CHA U-23 HIKI HAPA
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya U-23 Jamhuri Kihwelu maarufu kwa jina la Julio ametaja kikosi cha wachezaji 25 watakaocheza mechi ya kwanza ya kutafuta tiketi ya kufuzu kwa mashindano ya Olimpiki dhidi ya Cameroon hapo Machi 27 mjini Younde.
Kikosi hiki kinajumuisha wachezaji kutoka Zanzibar ambao nao walishiriki katika mchujo huo.
Kikosi chenyewe hiki hapa:
01. Shabani Kado- Mtibwa Sugar
02. Gharib Mussa- Mtende Rangers
03. Salum Telela- Yanga
04. Faraja Kabari- Simba
05. Issa Rashid- Mtibwa Sugar
06. Mbwana Hamis- Simba
07. Shomari Kapombe- Polisi Morogoro
08. Idrisa Juma- KMKM
09. Abdul Gulam- Malindi
10. Seme Omega- Yanga
11. Himid Mao- Azam
12. Babu Ally- Morani
13. Ibrahim Rajabu- Azam
14. Salum Abubakar- Azam
15. Awadh Juma- Azam
16. Godfrey Wambura- Simba
17. Jamal Mnyate- Azam
18. Frank Domayo- JKT Ruvu
19. Cosmas Fred- Azam
20. Mcha Khamis- Zanzibar Ocean View
21. Ventlaus John- KMKM
22. Eddo Christopher- Simba
23. Amour Suleiman- Zanzibar Ocean View
24. Zahoro Pazi- African Lyon
25. Samwel Ngasa- African Lyon
Team Officials
01. Jamhuri Kihwelo- Head Coach
02. Ayoub Mohamed- Assistant Coach
03. Adolf Rishard- Team Manager
04. Captain Joachim Mshana- Team Doctor
05. Eddy Venance- Kit Manager
Timu itacheza mechi mbili za kirafiki. Machi 16 itacheza na Azam FC kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam wakati Machi 18 itakuwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar.
Kikosi hiki kinajumuisha wachezaji kutoka Zanzibar ambao nao walishiriki katika mchujo huo.
Kikosi chenyewe hiki hapa:
01. Shabani Kado- Mtibwa Sugar
02. Gharib Mussa- Mtende Rangers
03. Salum Telela- Yanga
04. Faraja Kabari- Simba
05. Issa Rashid- Mtibwa Sugar
06. Mbwana Hamis- Simba
07. Shomari Kapombe- Polisi Morogoro
08. Idrisa Juma- KMKM
09. Abdul Gulam- Malindi
10. Seme Omega- Yanga
11. Himid Mao- Azam
12. Babu Ally- Morani
13. Ibrahim Rajabu- Azam
14. Salum Abubakar- Azam
15. Awadh Juma- Azam
16. Godfrey Wambura- Simba
17. Jamal Mnyate- Azam
18. Frank Domayo- JKT Ruvu
19. Cosmas Fred- Azam
20. Mcha Khamis- Zanzibar Ocean View
21. Ventlaus John- KMKM
22. Eddo Christopher- Simba
23. Amour Suleiman- Zanzibar Ocean View
24. Zahoro Pazi- African Lyon
25. Samwel Ngasa- African Lyon
Team Officials
01. Jamhuri Kihwelo- Head Coach
02. Ayoub Mohamed- Assistant Coach
03. Adolf Rishard- Team Manager
04. Captain Joachim Mshana- Team Doctor
05. Eddy Venance- Kit Manager
Timu itacheza mechi mbili za kirafiki. Machi 16 itacheza na Azam FC kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam wakati Machi 18 itakuwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar.
Child, 3, treated for alcoholism at British hospital
The child has been treated in hospital after being given alcohol regularly for six months.
The unnamed youngster, from the West Midlands, was one of 13 children who were diagnosed alcoholic by the Heart of England NHS Trust between 2008 and 2010.
In the same period, 106 teenagers aged 13 to 16 were also treated for their addiction to alcohol.
Nicolay Sorensen, a spokesman for Alcohol Concern, said: "To be diagnosed alcoholic, it's possible this child would have shown a physical dependency. They would have had to ingest enough to cause withdrawal symptoms.
"Whatever the circumstances, it is a truly horrifying case and raises very serious child protection issues."
Sarah Matthews, spokeswoman for the British Liver Trust, said: “This is an extreme case and definitely one of the youngest cases of alcoholism we have heard of.
“However, it does raise the issue of the accessibility of alcohol and how normal it has become. The power of cheap alcohol, availability and promotion makes it very difficult for people to consider their health when making decisions about if they drink and how much.”
The statistics emerged just weeks after Brighton and Sussex University Hospitals NHS Trust revealed that hundreds of children were admitted to hospital every year, often after their parents have bought them alcohol.
Their research found four five-year-olds among 165 under-17s they treated in the past five years for drink and drug problems.
By: Victoria Ward
Read more from The Telegraph
The unnamed youngster, from the West Midlands, was one of 13 children who were diagnosed alcoholic by the Heart of England NHS Trust between 2008 and 2010.
In the same period, 106 teenagers aged 13 to 16 were also treated for their addiction to alcohol.
Nicolay Sorensen, a spokesman for Alcohol Concern, said: "To be diagnosed alcoholic, it's possible this child would have shown a physical dependency. They would have had to ingest enough to cause withdrawal symptoms.
"Whatever the circumstances, it is a truly horrifying case and raises very serious child protection issues."
Sarah Matthews, spokeswoman for the British Liver Trust, said: “This is an extreme case and definitely one of the youngest cases of alcoholism we have heard of.
“However, it does raise the issue of the accessibility of alcohol and how normal it has become. The power of cheap alcohol, availability and promotion makes it very difficult for people to consider their health when making decisions about if they drink and how much.”
The statistics emerged just weeks after Brighton and Sussex University Hospitals NHS Trust revealed that hundreds of children were admitted to hospital every year, often after their parents have bought them alcohol.
Their research found four five-year-olds among 165 under-17s they treated in the past five years for drink and drug problems.
By: Victoria Ward
Read more from The Telegraph
MECHI YA SIMBA VS TP MAZEMBE: NI VITA YA MWALIMU DHIDI YA MWANAFUNZI
KOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Patrick Phiri ameifananisha mechi yao dhidi ya Mabingwa watetezi, TP Mazembe sawa na vita kati ya Mwanafunzi na Mwalimu.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Arusha, Phiri alisema kuwa wanajua kuwa wanapambana na timu kubwa yenye historia mpya kabisa katika soka la Afrika na lengo lao litabakia palepale la kutafuta ushindi.
Alisema kuwa TP Mazembe ni mabingwa watetezi kwa mara ya pili mfululizo na klabu pekee katika bara la Afrika iliyoweza kufika fainali ya klabu bingwa ya Dunia kwa kuzitoa timu kongwe duniani.
“Simaanishi kuwa hatuwezi kuwatoa TP Mazembe, hapana, kwani hata Mwalimu anaweza kushindwa kwa mwanafunzi, tunakwenda kushindana na vile vile kusaka ushindi,” alisema Phiri.
Alisema kuwa historia mara nyingi uwa inatengenezwa kwa mechi mfano dhidi ya TP Mazembe kwani wadau wengi wa soka wanadhani kuwa tutafanya vibaya kutokana na historia ya timu hiyo kwa soka la Afrika hivi sasa.
“Tunajiandaa kwenda kushindana, kupigana mpaka tone la mwisho, naamini tutafikia lengo letu, ubora wa TP Mazembe si wa kubeza na naamini wachezaji wangu watafanya kile kinachotarajiwa na wadau wengi kama ilivyokuwa kwa timu ya Zamalek ya Misri mwanzoni mwa miaka ya 2000,” alisema Phiri.
Alisema kuwa anawajenga wachezaji wake kwa kisaikolojia, kiufundi na kujuzi kwa ajili ya mechi hiyo ambayo inasubiriwa na mashabiki wengi wa soka Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Alifafanua kuwa kambi yake imezidi kuhimarika na hasa baada ya kupona kwa Mussa Hassan Mgosi na maendeleo mazuri ya Emmanuel Okwi ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo.
“Pia Patrick Ochan ni mgonjwa, Echessa (Hillary) anaendelea vizuri na Owino (Joseph) naye anaendelea vizuri, uwepo wao katika timu utajulikana Alhamis na hasa kutegemea repoti ya daktari wetu,” alisema.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Arusha, Phiri alisema kuwa wanajua kuwa wanapambana na timu kubwa yenye historia mpya kabisa katika soka la Afrika na lengo lao litabakia palepale la kutafuta ushindi.
Alisema kuwa TP Mazembe ni mabingwa watetezi kwa mara ya pili mfululizo na klabu pekee katika bara la Afrika iliyoweza kufika fainali ya klabu bingwa ya Dunia kwa kuzitoa timu kongwe duniani.
“Simaanishi kuwa hatuwezi kuwatoa TP Mazembe, hapana, kwani hata Mwalimu anaweza kushindwa kwa mwanafunzi, tunakwenda kushindana na vile vile kusaka ushindi,” alisema Phiri.
Alisema kuwa historia mara nyingi uwa inatengenezwa kwa mechi mfano dhidi ya TP Mazembe kwani wadau wengi wa soka wanadhani kuwa tutafanya vibaya kutokana na historia ya timu hiyo kwa soka la Afrika hivi sasa.
“Tunajiandaa kwenda kushindana, kupigana mpaka tone la mwisho, naamini tutafikia lengo letu, ubora wa TP Mazembe si wa kubeza na naamini wachezaji wangu watafanya kile kinachotarajiwa na wadau wengi kama ilivyokuwa kwa timu ya Zamalek ya Misri mwanzoni mwa miaka ya 2000,” alisema Phiri.
Alisema kuwa anawajenga wachezaji wake kwa kisaikolojia, kiufundi na kujuzi kwa ajili ya mechi hiyo ambayo inasubiriwa na mashabiki wengi wa soka Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Alifafanua kuwa kambi yake imezidi kuhimarika na hasa baada ya kupona kwa Mussa Hassan Mgosi na maendeleo mazuri ya Emmanuel Okwi ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo.
“Pia Patrick Ochan ni mgonjwa, Echessa (Hillary) anaendelea vizuri na Owino (Joseph) naye anaendelea vizuri, uwepo wao katika timu utajulikana Alhamis na hasa kutegemea repoti ya daktari wetu,” alisema.
HASIRA ZA TASWA FC ZAMALIZIKIA KWA PREMIER BINGO FC: YAICHAPA 9-2
HASIRA za timu ya Taswa FC za kufungwa mabao 3-0 na timu ya Kombaini ya Polisi Jamii zimemalizikia kwa timu ya wafanyakazi wa michezo wa bahati nasibu ya Premier Bingo betting FC baada ya kuichapa kwa mabao 9-2 katika mchezo maalum.
Mchezo huouliofanyika kwenye uwanja wa Ustawi wa Jamii ulikuwa mkali na wa kusisimua ambapo Premie Bingo FC ilitawala dakika 10 za mwanzo na kumfanya kipa wa Taswa FC Steven Mduma kufanya kazi ya ziada.
Ikiongozwa na mwenyekiti wake, Majuto “Ronaldo De Lima” Omary, Taswa FC ilipata bao la kwanza katika dakika ya 13 kupitia kwa Majuto kwa shuti la mbali.
Bao hilo liwachanganya sana Premier Bingo FC na kukutwa wakipchapwa bao la pili kupitia kwa Said Seif kufuatia pande safi la Majuto.
Premier Bingo FC ilijitahidi kutafuta bao, lakini ngome ya Taswa Fc chini ya Sweetbert Lukonge, Mohamed Akida, Juma Ramadhani na Fred Mweta iliondoa hatari zote.
Majuto alifunga mabao mengine mawili katika dakika ya 23 na 33 na kukamilisha hat-trick kabla ya Mohamed Abdallah kufunga la tano katika dakika ya 43 ya mchezo.
Premier Bingo ilianza kipindi cha pili kwa kufanya mabadiliko ambapo Mabago Kwezi aliingia upande wa kipa. Hata hivyo, kipa huyo alijikuta akifungwa mabao manne katika kipindi hicho.
Said Seif alifunga katika dakika ya 53 kufutia kazi nzuri ya Majuto kutoka wingi ya kushoro kabla ya Mohamed Abdallah kufunga mawili katika dakika ya 63 na 73 huku Juma Ramadhan akifunga bao la tisa.
Mchezo huouliofanyika kwenye uwanja wa Ustawi wa Jamii ulikuwa mkali na wa kusisimua ambapo Premie Bingo FC ilitawala dakika 10 za mwanzo na kumfanya kipa wa Taswa FC Steven Mduma kufanya kazi ya ziada.
Ikiongozwa na mwenyekiti wake, Majuto “Ronaldo De Lima” Omary, Taswa FC ilipata bao la kwanza katika dakika ya 13 kupitia kwa Majuto kwa shuti la mbali.
Bao hilo liwachanganya sana Premier Bingo FC na kukutwa wakipchapwa bao la pili kupitia kwa Said Seif kufuatia pande safi la Majuto.
Premier Bingo FC ilijitahidi kutafuta bao, lakini ngome ya Taswa Fc chini ya Sweetbert Lukonge, Mohamed Akida, Juma Ramadhani na Fred Mweta iliondoa hatari zote.
Majuto alifunga mabao mengine mawili katika dakika ya 23 na 33 na kukamilisha hat-trick kabla ya Mohamed Abdallah kufunga la tano katika dakika ya 43 ya mchezo.
Premier Bingo ilianza kipindi cha pili kwa kufanya mabadiliko ambapo Mabago Kwezi aliingia upande wa kipa. Hata hivyo, kipa huyo alijikuta akifungwa mabao manne katika kipindi hicho.
Said Seif alifunga katika dakika ya 53 kufutia kazi nzuri ya Majuto kutoka wingi ya kushoro kabla ya Mohamed Abdallah kufunga mawili katika dakika ya 63 na 73 huku Juma Ramadhan akifunga bao la tisa.
Sunday, March 6, 2011
MWANANCHI FC YAICHABANGA NEW HABARI FC 3-1
TIMU ya Mwananchi FC imeendelea kutamba katika mechi zake baada ya kuifunga timu ya New Habari Corporation mabao 3-1 katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Shekilango jijini.
Hii ni mara ya pili kwa Mwananchi FC kuifunga New Habari FC ambapo kwenye mashindano ya Airtel Media Day, Mwananchi FC iliichabanga Habari mabao 4-0.
Mwanachi FC ilifunga bao lake la kwanza kupitia nahodha wake, Majuto “Ronaldo de Lima” ikiwa ni bao la historia katika ulimwengu wa soka.
Majuto alifunga bao hilo mara baada ya mpira kuanza, akipiga shuti tokea katikati ya uwanja na kufunga bao hilo. Bao hilo liliwachanganya sana wachezaji wa New Habari baada ya kunyong’onyeshwa na makosa ya kipa wao.
Wakati New Habari FC wakitafakari kufungwa bao hilo, walijikuta wakipigiliwa ‘msumari’ mwingine kupitia Majuto baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Salum Jaba.
New Habari FC nusura wafunge bao katika dakika 35 kupitia Kulwa Karedia , lakini shuti lake liliokolewa na kipa wa Mwananchi FC, Ibrahim Bakari huku mabeki wake, Sweetbert Lukonge, Jaba, Andrew Kingamkono, Thomas Balele na Sosthenes Nyoni wakifanya kazi nzuri ya kulinga lango lao lisifungwe.
Mwananchi FC ilianza kipindi cha pili kwa kasi na kufunga bao la tatu kupitia kwa Calvin Kiwia baada ya pande safi la Majuto ambaye alishirikiana vizuri na Abdallah Masoud. New Habari FC walifunga bao la kufuta machozi kupitia kwa Karedia aliyepata pasi safi ya Mohamed Mharizo.
Hii ni mara ya pili kwa Mwananchi FC kuifunga New Habari FC ambapo kwenye mashindano ya Airtel Media Day, Mwananchi FC iliichabanga Habari mabao 4-0.
Mwanachi FC ilifunga bao lake la kwanza kupitia nahodha wake, Majuto “Ronaldo de Lima” ikiwa ni bao la historia katika ulimwengu wa soka.
Majuto alifunga bao hilo mara baada ya mpira kuanza, akipiga shuti tokea katikati ya uwanja na kufunga bao hilo. Bao hilo liliwachanganya sana wachezaji wa New Habari baada ya kunyong’onyeshwa na makosa ya kipa wao.
Wakati New Habari FC wakitafakari kufungwa bao hilo, walijikuta wakipigiliwa ‘msumari’ mwingine kupitia Majuto baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Salum Jaba.
New Habari FC nusura wafunge bao katika dakika 35 kupitia Kulwa Karedia , lakini shuti lake liliokolewa na kipa wa Mwananchi FC, Ibrahim Bakari huku mabeki wake, Sweetbert Lukonge, Jaba, Andrew Kingamkono, Thomas Balele na Sosthenes Nyoni wakifanya kazi nzuri ya kulinga lango lao lisifungwe.
Mwananchi FC ilianza kipindi cha pili kwa kasi na kufunga bao la tatu kupitia kwa Calvin Kiwia baada ya pande safi la Majuto ambaye alishirikiana vizuri na Abdallah Masoud. New Habari FC walifunga bao la kufuta machozi kupitia kwa Karedia aliyepata pasi safi ya Mohamed Mharizo.
Friday, March 4, 2011
PREMIER LEAGUE - KOLO TOURE SUSPENDED AFTER FAILED DRUGS TESTTHU, 03 MAR 19:14:00 2011
LONDON
Manchester defender Kolo Toure has been suspended by the club after failing a drugs test on his A-sample.
..The club confirmed in a short statement on their website that Toure had been informed by the FA that an A-sample provided by him returned positive.
"He has been suspended from participating in all first team and non-first team matches pending the outcome of the legal process," the City statement read.
"There will be no further comment from the football club at this stage."
Toure, 29, is the club's vice-captain and arrived at Eastlands from Arsenal for £16 million at the start of the 2009-10 season.
He has played more than 50 competitive games for City and has been capped 85 times by Ivory Coast.
His brother, midfielder Yaya Toure, also plays for the club after leaving Barcelona in a £24m deal last summer.
Manchester defender Kolo Toure has been suspended by the club after failing a drugs test on his A-sample.
..The club confirmed in a short statement on their website that Toure had been informed by the FA that an A-sample provided by him returned positive.
"He has been suspended from participating in all first team and non-first team matches pending the outcome of the legal process," the City statement read.
"There will be no further comment from the football club at this stage."
Toure, 29, is the club's vice-captain and arrived at Eastlands from Arsenal for £16 million at the start of the 2009-10 season.
He has played more than 50 competitive games for City and has been capped 85 times by Ivory Coast.
His brother, midfielder Yaya Toure, also plays for the club after leaving Barcelona in a £24m deal last summer.
TANZANIA’S GIANTS FIND A STOMPING GROUND ON SUPERSPORT, ON DSTV
Dar es Salaam. Young Africans Sports Club and Simba Sports Club will get to stake a claim for the inclusion of the Dar es Salaam derby in the top five greatest African derbies in front of a continental audience as DStv SuperSport in association with Star TV broadcasts the match live on Saturday.
Star TV, the broadcast rights holders of the Tanzanian Premier League and the Tanzania Football Federation (TFF) have agreed to let DStv SuperSport broadcast the epic encounter between Tanzania’s most successful clubs to a larger continental audience.
SuperSport’s head of Africa, Gary Rathbone had nothing but praises for Star TV and the Tanzanian Football Federation.
"This match is truly one of the great derbies in African football and we are grateful to have the opportunity to share this fantastic match with football fans across the continent. A match like this deserves an international stage"
A continental audience of over 32 African states will tune in to what is shaping up to be a potential Ligi Kuu Bara title decider.
The match is live on SuperSport 9 at 3.55pm from the 60 000-seater National Stadium, a venue both teams call home, something unique to only the Dar es Salaam and Milan derbies.
● More sports news at: www.supersport.com
Thursday, March 3, 2011
U-23 KUKIPIGA NA UGANDA, MSUMBIJI
Timu ya soka ya Taifa ya umri chini ya miaka 23 itacheza mechi mbili za kirafiki kabla ya kupambana na Cameroon katika mchezo wa kufuzu wa michuano ya Olimpiki uliopangwa kufanyika Machi 26 mjini Younde, Cameroon.
Kocha Mkuu wa timu hiyo, Jamhuri Kihwelu alisema kuwa mechi hizo mbili zinaweza kufanyika hapa nchini au katika nchi hizo. Kihwelu ambaye ni maarufu kwa jina la Julio, alisema kuwa kwa sasa wapo kambini, Bamba Beach wakijiandaa na mazoezi ya mchujo kabla ya kupambana na timu hizo mbili.
Alisema kuwa timu yao ina wachezaji 44 na Machi 8 watachuja wachezaji hao kubakia 25 ambao watacheza mechi dhidi ya Msumbiji, Uganda kabla ya kupanda ndege kwenda Cameroon.
"Ni matarajio yetu kuwa tutafanya vrema katika mechi hizo zote tatu, naamini wachezaji wangu wana kila kitu na wanatambua majukumu yao," alisema Kihwelu.
Kocha Mkuu wa timu hiyo, Jamhuri Kihwelu alisema kuwa mechi hizo mbili zinaweza kufanyika hapa nchini au katika nchi hizo. Kihwelu ambaye ni maarufu kwa jina la Julio, alisema kuwa kwa sasa wapo kambini, Bamba Beach wakijiandaa na mazoezi ya mchujo kabla ya kupambana na timu hizo mbili.
Alisema kuwa timu yao ina wachezaji 44 na Machi 8 watachuja wachezaji hao kubakia 25 ambao watacheza mechi dhidi ya Msumbiji, Uganda kabla ya kupanda ndege kwenda Cameroon.
"Ni matarajio yetu kuwa tutafanya vrema katika mechi hizo zote tatu, naamini wachezaji wangu wana kila kitu na wanatambua majukumu yao," alisema Kihwelu.
WATATU SIMBA KUIKOSA YANGA JUMAMOSI
Jumla ya wachezaji watatu wa klabu ya Simba watakaa jukwaani Jumamosi wakati wenzao watapopambana na Yanga kwenye uwanja wa Taifa.
Wachezaji hao ni Mkenya, Hillary Echesa na wachezaji wawili kutoka Uganda, mshambuliaji Emmanuel Okwi na mlinzi, Joseph Owino.
Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Patrick Phiri alisema jana kuwa Okwi pamoja na kuanza mazoezi madogo madogo, bado hali yake si nzuri na stamala yake haitamwezesha kucheza mchezo huo kwa asilimia 100.
"Ndiyo kwanza ameanza mazoezi Jumatano, sidhani kama ataweza kupambana katika mchezo huo ambao ni moto wa kuotea mbali na una ushindani mkubwa, Echessa na Owino wao hawatakuwa katika bechi la wachezaji wa akiba na watakuwa jukwaani," alisema Phiri.
Kocha huyo raia wa Zambia aliwatoa wasiwasi wanachama, wapenzi na wadau wa timu hiyo kwani anaamni wachezaji waliobaki katika kikosi hicho watafanya vyema na kunyakua pointi zote tatu.
Wachezaji hao ni Mkenya, Hillary Echesa na wachezaji wawili kutoka Uganda, mshambuliaji Emmanuel Okwi na mlinzi, Joseph Owino.
Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Patrick Phiri alisema jana kuwa Okwi pamoja na kuanza mazoezi madogo madogo, bado hali yake si nzuri na stamala yake haitamwezesha kucheza mchezo huo kwa asilimia 100.
"Ndiyo kwanza ameanza mazoezi Jumatano, sidhani kama ataweza kupambana katika mchezo huo ambao ni moto wa kuotea mbali na una ushindani mkubwa, Echessa na Owino wao hawatakuwa katika bechi la wachezaji wa akiba na watakuwa jukwaani," alisema Phiri.
Kocha huyo raia wa Zambia aliwatoa wasiwasi wanachama, wapenzi na wadau wa timu hiyo kwani anaamni wachezaji waliobaki katika kikosi hicho watafanya vyema na kunyakua pointi zote tatu.
TASWA FC YAALIKWA TENA ZANZIBAR
Timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC imealikwa tena Zanzibar kushiriki katika mchezo maalum wa kuzindua timu ya wana habari wa huko, Zaswa FC. Safari hiyo ya Taswa FC itafanyika mwezi ujao kabla ya sikukuu ya Muungano.
Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary amewataka wachezaji wa timu hiyo kufanya mazoezi zaidi ili kwenda kuonyesha kandanda safi na kuweka rekodi ya kutofungwa huko Tanzania Visiwani na mwaka huu kwa ujumla.
Majuto alisema taarifa kamili na utaratibu wa safari hiyo utatolewa hapo baadaye.
Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary amewataka wachezaji wa timu hiyo kufanya mazoezi zaidi ili kwenda kuonyesha kandanda safi na kuweka rekodi ya kutofungwa huko Tanzania Visiwani na mwaka huu kwa ujumla.
Majuto alisema taarifa kamili na utaratibu wa safari hiyo utatolewa hapo baadaye.
KIKOSI CHA TASWA FC
KARIBUNI KATIKA BLOG YETU WANA TASWA
Timu ya soka ya Waandishi wa Habari za michezo nchini (TASWA FC) imeamua kufungua blog yake kwa lengo la kutoa mchango wake katika sekta ya habari hapa nchini. Tunawakaribisha wadau wote na tunaomba michango yenu mbalimbali ikiwa pamoja na kututumia habari na matukio ya picha mbali mbali na vile vile maoni yenu Wako katika ulimwengu wa habari.
Majuto Omary
Mwenyekiti
Majuto Omary
Mwenyekiti
Subscribe to:
Posts (Atom)
